26 Mei 2022

Kuhusu Kuuwawa Mtu Aliyeritadi

 Mtu mmoja ambaye ni Mkristo ameukosoa Uislamu kwa kuwa mtu anayeritadi kwa maana ya kuacha Uislamu baada ya kuwa Muislamu anapaswa kuuwawa ambapo jambo hili amelizingatia lipo kinyume na misingi ya uhuru kwa upande wa m...

Soma zaidi....
23 Juni 2019

Kuuza Paka

 Nimenunua paka kwa ajili ya pambo kwa thamani ya juu lengo ni kumfuga, na jambo hili ni la muda mrefu, lakini hivi sasa nataka kumuuza kutokana na kazi nyingi na kushindwa kumhudumia vizuri, lakini hata hivyo baadhi ya ...

Soma zaidi....
24 Julai 2018

Upatanisho Baina ya Madhehebu ya Kifiqhi

Tulisikia kwamba hairuhusiwi kupatanisha baina ya madhehebu ya kifiqhi, inakusudiwa nini kutoka neno la upatanisho? nini hukumu ya kufanya hiyo? 

Soma zaidi....
23 Agosti 2019

Talaka kwa Sababu ya Utasa wa Mume

 Mwanamke aligundua baada ya kipindi kirefu cha ndoa kupita bila ya kupata mimba kuwa mume wake alikuwa tasa, kwa mujibu wa kipimo cha matibabu kilichothibitisha hivyo. Je, atafanya dhambi kama akiomba talaka kwa sababu ...

Soma zaidi....
27 Agosti 2017

Je, Utangazaji Uisalmu ni Sharti la Uislamu Sahihi?

Mimi ni mwanamke wa Marekani nimeingia Dini ya Uislamu kwa itikadi ya kweli mwaka wa 2005 yaani tangu miaka kadhaa iliyopita na nimeshuhudia kwamba “Hakuna Mola anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Mwenyezi Mungu na kwamba ...

Soma zaidi....